Kifaa Kinachotuunganisha Katika Kujenga Mahusiano Na Wateja
Pata picha una mpenzi wako ambaye yuko Iringa na wewe uko Dar na kuonana na mpenzi wako ni mpaka wakati wa likizo tu.Utajisikiaje kukaa na mpenzi wako kwa muda mrefu hivyo bila kuwasiliana naye mpaka mje kuonana wakati wa likizo? Na kama unavyojua, ni hali ya hatari sana kwa mtu ambaye mnahusiana katika mapenzi halafu …