Showing 7 Result(s)

Wateja Wengi Wananunua Kwa Watu Hawa Hapa

Binadamu ni viumbe vya hisia na siyo maroboti. Kabla hatujaendelea, naomba ujiulize swali hili. Mauzo mengi unayofanya huwa unanunua kwa watu wa aina gani? Habari njema ni kwamba vitu vingi tunavyonunua tunanunua kwa watu tunaowapenda. Na watu huwa wananunua kwa watu wanaowapenda. Watu hawanunui kwa watu wanaowachukia. Mauzo mengi ambayo wateja wanayafanya, wanafanya kwa wale …

Jinsi Ya Kuongeza Mauzo

Habari njema ni kwamba, kila mtu anapenda kupata faida. Kila mtu anapenda kuongeza mauzo kama anafanya biashara. Kila mtu anapenda kupata matokeo mazuri zaidi. Na mauzo ndiyo moyo wa biashara. Kwa sababu, kupitia mauzo kila kitu kinapatikana. Kama mauzo yakiongezeka, utapata mapato makubwa, utajilipa vizuri, utawalipa wasaidizi wako vizuri.Utafanya maendeleo kwenye biashara yako. Wote tunajua …

Sehemu Pekee Unayopaswa Kuanza Nayo Kama Unataka Kuuza Sana

Mpendwa muuzaji, Hakuna zama ambazo ni rahisi kuuza kama zama hizi tunazoishi sasa. Kama huuzi katika zama hizi na una huduma nzuri au bidhaa basi hiyo ni shida yako binafsi. Hii ni kama vile unakufa na kiu, wakati uko kisimani. Kama unasoma hapa, halafu unahangaika huuzi, basi utakua unajipunja sana. Habari njema ni kwamba, ukiwa …

Jinsi Ya Kuimarisha Mahusiano Na Wateja Wako

Kwenye maisha siri ya kupata ni kutoa. Mafanikio yoyote duniani yanakuja kwa njia ya kutoa. Huwezi kupata kile unachotaka kama hujatoa. Ukitaka kitu ambacho huna unatoa hela na hela inakusaidia kupata kile unachotaka kwenye maisha yako. Kama unataka ng’ombe wako atoe maziwa mengi, basi mshibishe vizuri na utapata maziwa mengi. Kwa chochote kile unachotaka kupokea, …

Jinsi Ya Kupata Wateja Wanaoaminika

Mpendwa muuzaji bora kuwahi kutokea, Kila mmoja wetu anapenda kupata wateja wazuri na wanaoaminika. Kazi yako kubwa kama muuzaji ni kujenga wateja wanaoaminika kwenye biashara. Ili uweze kupata wateja wanaoaminika kwenye biashara yako, unapaswa kwanza wewe jenga kujenga kuaminika kwa wateja wako. Huwezi kujenga wateja wanaoaminika kama wewe mwenyewe hujaaminika. Jenga kuaminika, wafanye watu wakutegemee …

Kifaa Kinachotuunganisha Katika Kujenga Mahusiano Na Wateja

Pata picha una mpenzi wako ambaye yuko Iringa na wewe uko Dar na kuonana na mpenzi wako ni mpaka wakati wa likizo tu.Utajisikiaje kukaa na mpenzi wako kwa muda mrefu hivyo bila kuwasiliana naye mpaka mje kuonana wakati wa likizo? Na kama unavyojua, ni hali ya hatari sana kwa mtu ambaye mnahusiana katika mapenzi halafu …

Jinsi Ya Kupata Wateja Wengi Na Endelevu Kwenye Biashara Yako

Pata picha unatoka zako nyumbani, uko zako kwenye mishe mishe zako mara ghafla unakutana na mwanamke au mwanaume anakusalimia na kukuambia nimekupenda naomba nikuoe au unioe kwa mara ya kwanza tu na hamjawahi kuonana hata siku moja utajisikiaje kwa mfano? Utamshangaa! vipi huyu kaka au dada amechanganyikiwa nini? Au atakua ana wazimu? Au wewe ni …